Categories: News

Uzinduzi wa mafunzo kazini kwa walimu mradi wa EQSSE-Z

Shirika la Good Neighbors Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Linatarjia kufanya Uzinduzi rasmi wa Mafunzo kazini kwa Walimu na kukabidhi Moduli na Miongozo ya mafunzo.

Hafla hii itafanyika Siku ya tar 3 Agosti 2022 katika hoteli Golden Tulip Zanzibar Airport.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dk. Hussein Ali Mwinyi atakuwa mgeni Rasmi.
Viongozi mbali mbali wakiwemo Mawaziri, Manaibu Waziri Makatibu wakuu wa Wizara, Mabalozi, Wakuu wa Mikoa na Wilaya watahudhuria.

Kupitia Hafla hii Shirika la Good Neighbors Tanzania litakabidhi Moduli na miongozo itakayotumika katika mafunzo wa Walimu wa masomo ya Hisabati, Sayansi na Kiingereza pamoja na Kamati za Skuli..ambayo yana lengo la Kuimarisha ubora wa Elimu ya Sekondari Zanzibar.

#qualityeducationforall
#eqssez

admin

Share
Published by
admin

Recent Posts

Annual NGOs Forum

The guest of honor Vice-President Dr. Philip Mpango was speaking in Dodoma on Thursday, when…

2 years ago

Senior Management Team Workshop

From 21st to 24th May 2023, at Golden Tulip Hotel in Zanzibar, Good Neigbhors Tanzania…

2 years ago

Annual Stakeholders workshop

On 9th May, 2023 Good Neighbors Tanzania conducted annual stakeholder’s workshop at Kigoma comprised of…

2 years ago

Steam (Science, Technology, Engineering, Art and Math)

On 19th April, #GoodNeighborsTanzania hosted General Secretary of #GoodNeighborsInternational together with Senior Director where they…

2 years ago

Early Childhood Development

On 19th April 2023, #GoodNeighborsTanzania hosted General Secretary of #GoodNeighborsInternational together with Senior Director where…

2 years ago

Improving Pupils learning environment

#GoodNeighborsTanzania is improving access to education to most vulnerable communities across the country. On 2nd…

3 years ago